Serikali inapania kufunga nyumba na vituo vya kuwatunza watoto na mayatima na kuwaregesha watoto walioko kwenye nyumba hizo katika jamii. Mpango huo utaathiri takriban watoto elfu 50 wanaotunzwa katika vituo 800 humu nchini. Janet Achieng’ mwenye umri wa miaka 23 ni mmoja wa watu ambao hawajui familia yao iliko. Janet aliokolewa na kulelewa katika shule ya wasio na uwezo wa kusikia ya maseno. Janet ambaye chimbuko lake ni kaunti ya Siaya anaitafuta familia yake miaka 11 baadaye.
- Catégories
- Massages Erotiques
Commentaires