Waandamanaji wapinga mswada wa fedha huku polisi wakiwakamata mjini Nairobi

Votre vidéo commence dans 20
Passer (5)
cash machine v4

Merci ! Partagez avec vos amis !

Vous avez aimé cette vidéo, merci de votre vote !

Ajoutées by admin
37 Vues
Polisi wamerusha vitoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakipinga mswada tata wa fedha wa mwaka 2023 katikati mwa jiji la Nairobi. Waandamanaji hao walikongamana katika Bustani la Jivanjee kuandamana, kabla ya kuanza safari kuelekea majengo ya bunge. Hata hivyo waandamanaji hao waliokuwa wamebaba mabango ya kupinga mswada huo walifurushwa na maafisa wa usalama walioshika doria. Waandamanaji kadhaa wamekamatwa wakawa maandamano hayo. Kumekuwa na pingamizi kuhusu mswada huo huku serikali ikishikilia kuwa ni lazima utaidhinishwa na bunge
Catégories
Massages Erotiques

Ajouter un commentaire

Commentaires

Soyez le premier à commenter cette vidéo.