KKKT USHARIKA WA KIJITONYAMA
IBADA YA EVENING GLORY 13/05/2020
UJUMBE WA LEO:
"IJUE NGUVU YA TAARIFA / MANENO INAYOWEZA KUATHIRI MFUMO WAKO WA KIMAISHA"
Methali 23 : 7
2 Wakoritho 4 : 4
2 Wakoritho 11 : 3
Methali 4 : 23
Methali 23 : 7a
2 Wakoritho 10 : 5
Warumi 7 : 15
Warumi 7 : 19
Methali 23 : 7
7 Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.
2 Wakoritho 4 : 4
4 ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.
Methali 4 : 23
23 Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
2 Wakoritho 11 : 3
3 Lakini nachelea; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.
Methali 23 : 7a
7 Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.
2 Wakoritho 10 : 5
5 tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo;
Warumi 7 : 15
15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.
Warumi 7 : 19
19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
Mhubiri: Mwl. Emilian Katubayemo
Kwa maombi na ushauri:
Mch. Dkt. Eliona Kimaro.
Simu :+255655516053, +255754516053
YouTube : Rev. Dr. Eliona Kimaro TV
Barua Pepe: elionakimaro555@gmail.com
IBADA YA EVENING GLORY 13/05/2020
UJUMBE WA LEO:
"IJUE NGUVU YA TAARIFA / MANENO INAYOWEZA KUATHIRI MFUMO WAKO WA KIMAISHA"
Methali 23 : 7
2 Wakoritho 4 : 4
2 Wakoritho 11 : 3
Methali 4 : 23
Methali 23 : 7a
2 Wakoritho 10 : 5
Warumi 7 : 15
Warumi 7 : 19
Methali 23 : 7
7 Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.
2 Wakoritho 4 : 4
4 ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.
Methali 4 : 23
23 Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
2 Wakoritho 11 : 3
3 Lakini nachelea; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.
Methali 23 : 7a
7 Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.
2 Wakoritho 10 : 5
5 tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo;
Warumi 7 : 15
15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.
Warumi 7 : 19
19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
Mhubiri: Mwl. Emilian Katubayemo
Kwa maombi na ushauri:
Mch. Dkt. Eliona Kimaro.
Simu :+255655516053, +255754516053
YouTube : Rev. Dr. Eliona Kimaro TV
Barua Pepe: elionakimaro555@gmail.com
- Catégories
- Massages Erotiques
Commentaires